Thursday, May 8, 2014

VIDOE.;TAZAMA MAN CITY ALIVYOUSOGELEA UBINGWA,NA MADRID ALIVYOZIMWA KAMA MSHUMAA KUELEKEA UBINGWA

Madrid wakidraw mechi mbili mfululizo na wakiwa nyuma ya vinara kwa pointi nne wamempta nafasi Barca kurekesha matumaini ya mbio za ubingwa baada ya ATM kuambulia kipigo.Mambo yakiwa hivyo Man city wamejongea kileleni kwa pointi mbili zaidi na tofauti ya magoli 9