Home »
SIASA
» MAPICHA YA MBUNGE JOSHUA NASSARI ALIVYOFUNGA NDOA YA KIHISTORIA JANA JIJINI ARUSHA
Mbunge Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Samwel Nassari amefunga ndoa
na Anande Nko kwenye Kanisa la Pentekoste lililopo Kilinga, Arumeru
jijini Arusha ikifuatiwa na sherehe kubwa iliyofanyika katika Viwanja
vya Usa-River Academy jirani na Hoteli ya Ngurdoto.
Sherehe hiyo ilianza mishale ya saa 7:00 mchana siku ya jana ambapo watu
wote walialikwa wakiwemo ndugu, marafiki, jamaa na wananchi wote wa
Arumeru Mashariki ambao wamepiga ‘mpunga’ wa kutosha na vinywaji hadi
kila mtu akaondoka akisema ‘Nassari ameacha historia’.