Aliyekuwa mwenyekiti UVCCM mkoa wa Iringa Tumain Msowoya
******
MWENYEKITI wa jumuiya ya umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Iringa mwanahabari Tumain Msowoya ametishia kujiuzulu nafasi yake hiyo baada ya wajumbe wa baraza kuu la UVCCM mkoa kupinga uamuzi wake wa kuchomoka ajenda ya kumteua mume wake kuziba nafasi tano ambazo anapaswa kuteua kwa mujibu wa kanuni ya UVCCM.