
Christian Bella alipotangaza kufanya kolabo na mkali wa bongofleva Ommy Dimpoz kila mmoja alikua na hamu ya kuona kitatokea nini hawa jamaa wakionganisha uwezo wao na sauti zao kwenye wimbo mmoja, hatimae kila kitu kimekamilika na video yao ndio hii hapa chini
src AyoTz