Tuesday, March 25, 2014

ORODHA YA WANAOWANIA TUZO ZA KILL 2014 HII HAPA


Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limetangaza rasmi matokeo ya mchakato wa kuwapata wateule rasmi yaani ‘nominees’ wa vipengele 34 vya tuzo za muziki Tanzania.

Kabla ya kuanza kutajwa kwa wanaowania tuzo za KTMA 2014, BASATA ilitangaza nyimbo ambazo zimetolewa kwenye kuwania tuzo hizi kutokana na sababu za kimaudhui ambazo ni wimbo wa Snura-Nimevurugwa,Uzuri wako JUX na Madee -Tema mate


Mwimbaji  Bora wa Kike- Bendi

Luiza Mbutu

Catherine Cindy

Ciana

Mtunzi Bora Taarabu

Mzee Yusuf

EL-Ahad Omary

El-Khatib Rajabu

Kapten Temba

Nassoro Seif

Mwimbaji  Bora wa Kiume - Bendi

Mzee Yusuf

Hashimu Said

Mohamed Ali  aka Mtoto Pori

Mwimbaji  Bora wa Kike- TAARABU

Khadija Kopa

Isha Ramadhani

Khadija Yusuph

Mwanahwa Ali

Leyla Rashid

Kikundi cha mwaka –Taarabu

Jahaz Modern Taarabu

Mashauzi Classic

Five Stars

Kikundi cha mwaka –Kizazi kipya

Makomandoo

Navy Kenzo

Weusi

Mkubwa na wanawe

Bendi ya mwaka

FM academia

Mapacha watatu

Twanga Pepeta

Akudo Impact

Malaika Band

Mashujaa bendi

Mtunzi Bora wa mwaka Band

Christian Bella

Jose Mara

Chaz Baba

Nyosh El Saadat

Kalala Junior

Video Bora ya Mwaka

Number one –Diamond

Yahay-Lady Jaydee

Uswazi Takeway-Chege

Mama yeyo-Gnako

Mtumbuizaji  Bora wa Kiume Kizazi Kipya

Diamond

Christian Bella

Rich mavoko

Ommy Dimpoz

Abdul Kiba

Mtunzi Bora Hip HOP

Nick wa Pili

Young Killer

Roma

Fid Q

G-Nako

Mtunzi Bora wa Mwaka –Kizazi Kipya

Bell 9

Ben Poll

Diamond

Rama Dee

Rich Mavoko

Prodyuza Bora

Marco Chali

Man Water

Mazoo

Sheddy Clever

Nahreel

Msanii Bora Chipukizi

Young Killer

Walter Chilambo

Y Tony

Snura

Meninah

Msanii Bora Hip Hop

Fid Q

Stamina

Young Killer

Nick wa Pili

G-Nako

Mwimabaji bora wa Kiume- Kizazi Kipya

Ben Poll

Rich Mavoko

Diamond Platnumz

Ommy Dimpoz

Cassim Mganga

Mwimabaji bora wa Kike -Kizazi Kipya

Vanessa Mdee

Lady Jaydee

Linah

Maua Samma

Wimbo Zouk Rhumba

Yahya –Lady Jaydee

Yamoto –Mkubwa na Wanawe

Msaliti-Malaika Band

Narudi Kazini –Beka

Wimbo R&B

Listen –Belle 9

Closer –Vanessa Mdee

So crazy-maua Samma

Kama Huwezi-Rama Dee

Wa ubani-Ben Poll

Wimbo Hip Hop

Bei ya mkaa-Weusi

Nje ya Box –Nick wa PilI

Siri ya Mchezo-Fid Q

2030-ROMA

Pesa-Mr Blue

Wimbo wa Afro Pop

Number One –Diamond

Joto hasira-Lady Jaydee

Kidela-ABDUL kiBA

I love u –Cassim

Tupogo-Ommy DIMPOZ

Roho Yangu-Mavoko

Wimbo wa Band

Ushamba Mzigo-Mashujaa

Shamba la Bibi –Victoria Sound

Chuki nini-FM Academia

Yarabi nafsi-Mapacha 3

Kiapo-Talent BAND

Wimbo wa Mwaka

Number One-Diamond

Joto Hasira-Lady Jaydee

Ilove u-Cassim

Yahya-Lady Jaydee

Kidela-Abdul Kiba

Muziki Gani- Nay

 

Nyingine ni
WIMBO BORA WA AFRIKA MASHARIKI – Tubonge ya Jose Chameleone, Nakupenda pia ya Wyre na Alaine, Badilisha ya Jose Chameleone, Kipepeo ya Jaguar, Kiboko changu ya Amani, Weasal na Radio.


WIMBO BORA WA TAARAB – Wasiwasi wako wa Mzee Yusufu, asie kujua hakuthamini Isha na Saida Ramadhani, Nipe stara Rahima Machupa, sitaki shari Leila Rashid, fahari ya mwanamke ya Khadija Kopa, mambo bado Khadija Yusufu, kila muomba Mungu ya Mwanahawa Ally.

WIMBO BORA WA RAGGA/DANCEHALL – Nishai ya Chibwa ft Juru, Sexy Lady ya Dr. Jahson, My sweet ya Jettyman Dizano, feel alright ya Lucky Stone na wine ya Princess Delyla.

WIMBO BORA WA KUSHIRIKISHWA/KUSHIRIKIANA – Muziki gani ya Ney wa Mitego ft Diamond, Joto hasira ya Lady Jaydee ft Prof J, kidela ya Ally Kiba na Abdu Kiba, bila kukunja goti ya MwanaFA, Ay ft J Martins na tupogo ya Ommy Dimpoz ft J Martins.

RAPA BORA WA MWAKA WA BENDI – Kitokololo, Chokoraa, Ferguson, Canal Top na Totoo ze bingwa.

MTUMBUIZAJI BORA WA KIKE WA MUZIKI – Khadija kopa, Vanessa Mdee, Isha Ramadhani, Luiza Mbutu, Catherine (Cindy)

MTAYARISHAJI BORA WA NYIMBO WA MWAKA TAARAB – Enrico, Ababuu mwana wa Zanzibar na Bakunde.

MTAYARISHAJI BORA WA NYIMBO WA MWAKA (BENDI) – Allan Mapigo, C9, Enrico, Amoroso na Ababuu mwana wa Zanzibar.

WIMBO BORA WA REGGAE – Niwe nawe ya Dabo, hakuna matata ya Lonka, tell me ya Dj Aron ft Fidempha, bado nahitaji ya Chikaka ft Bless P & Lazzy B, Bongo reggae ya Warriors from the east.

WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI YA KITANZANIA – Kwejaga nyangisha ya Batarokota, Nalonji ya Kumpeneka, bora mchawi Dar bongo massive, tumbo lamsokota ya Ashimba, Aliponji ya Wanakijiji na Agwemwana ya Cocodo african music band.